Lebo

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo ELIMU.. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo ELIMU.. Onyesha machapisho yote

Ijumaa, 8 Julai 2022

DHANA YA AKILI NA MAFANIKIO

 SOMO LA KWANZA


*DHANA YA AKILI NA MAFANIKIO*


📙📙📙📚📚📚📚📙📙📙


Sehemu ya TATU 


*Ijue PREFRONTAL CORTEX; sehemu CHANYA ya Akili inayopambana na nguvu HASI (LIMBIC SYSTEM)*





Naendelea kusisitiza kuwa *Ametukuka Mwenyezi-Mungu; mbora wa kuumba*! Katika sehemu ya mbele ya ubongo wa mwanadamu; Kuna sehemu inayoitwa *Prefrontal Cortex*; hii ni sehemu CHANYA inayosimamia mafanikio makubwa ya mwanadamu. Ili kuifahamu vizuri sehemu hii ni vizuri tukajua upande HASI *(LIMBIC SYSTEM)*.


*LIMBIC SYSTEM*



Hii ni sehemu iliyo maeneo ya paji la uso. Huu ni mfumo hasi unaomfanya mwanadamu:

- Awe mvivu

- Apende starehe

- Asipende kujihangaisha

- Akate tamaa mapema

- Aghairishe Mambo muhimu

- Asione umuhimu kusonga mbele n.k.

Mfumo huu unazalisha kemikali iitwayo *Dopermine* (inayozalishwa na Amygdala)  ambayo humfanya mwanadamu Apende kuliwazwa na asipende kabisa kujituma. Umeshawahi kuona Alfajir unataka kuamka lakini kuna kitu kinakubembeleza na kukwambia uendelee kulala!? *Hiyo ndiyo kazi inayofanywa na Limbic system*. Hiki ni kilevi. Kwa bahati mbaya; mfumo huu Mwenyezi-Mungu Amauumba ukiwa kamili kwa 100% tangu Mtoto anapozaliwa!


*PREFRONTAL CORTEX*

Ili kudhibiti nguvu ya Limbic system; Mwenyezi-Mungu Ametuwekea sehemu hii CHANYA ya Prefrontal Cortex. Mfumo huu huwa hauko kamili kimaumbile; huwa inakuwa kadiri mwanadamu anavyojitahidi kupambana na nguvu HASI. Kwa hiyo; jinsi unavyozidi kufanya Mambo ya kimaendeleo na kujituma; mfumo huu unakua na Limbic system hupungua nguvu. Unapoweka malengo makubwa na kuanza kuchukua maamuzi makubwa; unajijengea tabia ya ushundi na mafanikio; hatua kwa hatua.


SWALI:


*Je, umeshawahi kupanga malengo na ukashindwa kutimiza?* Unadhani tatizo gani lilikukwamisha katika kufikia malengo yako!?




mwandishi : Mrisho Said Mbwembe

                          0657942495

mrishombwembwe@gmail.com

@ BoreshaTanzaniafoundation

Jumamosi, 25 Juni 2022

Jumatatu, 13 Juni 2022

SIX LEADERSHIP PRINCIPLES TO LEARN FROM AN EAGLE



1. Eagles fly Alone and at High Altitudes.

They don't fly with sparrows, ravens, and other small birds.


MEANING; Stay away from narrow-minded people, those that bring you down. Eagle flies with Eagles. Keep good company.



2. Eagles have an Accurate Vision. 

They have the ability to focus on something as far as 5km away. No matter the obstacles, the eagle will not move his focus from the prey until he grabs it.


MEANING; Have a vision and remain focused no matter what the obstacles and you will succeed.



3. Eagles do not Eat Dead things

They Feed only on Fresh Prey.


MEANING; Do not rely on your past success, keep looking for new frontiers to conquer. Leave your past where it belongs, in the past.




4. Eagles Love the Storm.

When clouds gather, the eagle gets excited, the eagle uses the storms wind to lift itself higher. Once it finds the wind of the storm, the eagle uses the raging storm to lift itself above the clouds. This gives the eagle an opportunity to glide and rest its wings. In the meantime, all the other birds hide in the branches and leaves of the tree.


MEANING; Face your challenges head on knowing that these will make you emerge stronger and better than you were. We can use the storms of life to rise to greater heights. Achievers are not afraid to rise to greater heights. Achievers are not afraid of challenges, rather they relish them and use them profitably.


5. Eagles Prepare for Training;

They remove the feathers and soft grass in the nest so that the young ones get uncomfortable in preparation for flying and eventually flies/ when it becomes unbearable to stay in the nest./


MEANING; Leave your Comfort Zone, there is No Growth there.




6. When the Eagle Grows Old,

His feathers becomes weak and cannot take him as fast and as high as it should. This makes him weak and could make him die. So he retires to a place far away in the mountains. While there, he plucks out the weak feathers on his body and breaks its beaks and claws against the rocks until he is completely bare; a very bloody and painful process. Then he stays in this hiding place until he has grown new feathers, new beaks and claws and then he comes out flying higher than before.


MEANING; We occasionally need to shed off old habit no matter how difficult, things that burden us or add no value to our lives should be let go of.



Never give up. Be an Eagle.





Jumamosi, 25 Septemba 2021

SCHOLARSHIPS TENABLE IN THE ARAB REPUBLIC OF EGYPT FOR THE ACADEMIC YEAR 2021/2022

 Call for Application

The general public is hereby informed that the Egyptian Ministry of Higher Education is offering scholarships for suitable candidates to apply for undergraduate and postgraduate studies in Egyptian universities and institutions for the academic year 2021/2022.

Eligibility

The following general conditions should be met:

  1. Must have a high school certificate or its equivalent for undergraduate candidates.
  2. Must have relevant academic certificates for postgraduate candidates.
  3. Hold a PCR (polymerase chain reaction) certificate 72 hours prior to travel.

List of required documents

  1. A copy of the academic certificates.
  2. A copy of a valid passport.
  3. A recent personal passport size photo.
  4. Certificates and supporting documents must be certified by relevant authorities.
  5. A medical certificate stating that the applicant is free of any infectious disease.

Mode of application and submission  

  1. Complete the online application on the official portal: http://admission.study-in-egypt.gov.eg during the opening period.
  2. Fill your name as stated in the passport, fill in all the required information and attach a copy of your passport and the required documents.
  3. Once the online application is completed, print the application before submitting it electronically.
  4. Submit all required documents during the application opening period to this address: Central Administration for International Students Affairs, 7 Dr. Ibrahim Abu Al-Naga Street, Al Sefarat Neighborhood, Nasr City, Cairo – Egypt.
  5. All queries concerning the scholarship, or the application process should be sent by email to: info@study-in-egypt.gov.eg or call the hotline 19064.
  6. The deadline for online application is September 30th, 2021.

NB: The Government of the United Republic of Tanzania will not provide a loan or grant for candidates who will be offered this scholarship.

Issued by:
Permanent Secretary,
Ministry of education, Science and Technology,
Government City,
Mtumba Area,
Afya Street,
P. O. Box 10,
40479 DODOMA.

RUFAA ACSEE

kwa Matokeo ya Usahihishaji wa Rufaa za Watahiniwa wa Mtihani wa KIDATO CHA SITA (ACSEE) MEI 2021 - AWAMU YA I

BOFYA HAPA 

Jumapili, 1 Agosti 2021

NJIA RAHISI ZA KUSOMA NA KUFAULU MITIHANI YA MWISHO

How to stop falling asleep while studying, how to stay awake while studying, how to stop feeling sleepy, how to stop falling asleep, tips to stop falling asleep, tips to keep awake while studying, tips to stop feeling sleepy
Yawezekana Unasoma sana lakini matokeo yakitoka hutamani rafiki au hata wazazi wako wajue kile ulichopata au unafanya vizuri darasani na mitihani ya kawaida lakini inapofika muda wa kufanya mitihani ya mwisho kama vile ya wilaya,mkoa na taifa unafeli mpaka unahisi unafanyiwa hila au umelogwa!. Kufeli sio jambo zuri kwa mtu kulipata katika kitu chochote hasa ukiwa shuleni,kwa kutambua hilo haijalishi wewe ni mwanafunzi wa shule ya hadhi gani au unarudia mtihani au wewe ni P.C huna budi kujua njia hizi rahisi sana za kukusaidia kufaulu mitihani yako.
Kutoka BORESHA TANZANIA, tumekuwekea mambo mazuri yanayoweza kukusaidia kufaulu mitihani yako ya mwisho kama ifuatavyo;
 

1 . Soma mitihani iliyopita. (past papers)

Njia hii ni rahisi sana itakusaidia sana kujua namna ya kujibu maswali,kujua mitego na mbinu za watunga mitihani ambao mara nyingi hurudia maswali yaleyale kwa namna tofauti, vilevile itakusaidia kujua format au miundo ya mitihani na hii itapelekea wewe kujua majibu ya maswali mengi sana ndani ya muda mfupi sana.
 

2. Jua mada zote za kila somo unalolisoma. (Topics)

Kujua topic za kila somo unalotarajia kujibu mtihani wake kutakusaidia sana kujua mada zipi huwa na maswali mengi,alama nyingi,mada zenye maswali rahisi na magumu.Hii inakupa mwongozo sahihi sana wa kujua wapi pa kuanzia pindi unavyojiaandaa kujibu mtihani.Ni hatari sana kuingia kwenye chumba cha mtihani ukiwa hujui maswali yapi ya kuanza kwenye mtihani husika hata kama unajua vitu vingi vya kujibu.Hivyo kujua topic ni njia rahisi sana kuelekea kufaulu mtihani wako.
 

3. Soma kwa lengo. (target)

Kusoma sio hekali za shamba unazotakiwa kutumia muda mrefu sana ili umalize kuzilima la hasha ! kusoma ni kazi inayohusisha akili na viungo hivyo unatakiwa kuwa na lengo maalumu kila unaposoma sio kusoma ilimradi.Ni heri ulale upumzishe akili kuliko kusoma ukiwa hauelewi kitu husika unachokisoma kina faida gani kwako.Ndio maana wapo baadhi ya wanafunzi wanaotumia muda mrefu kusoma kisha hufeli wakati wapo watu wanaofaulu licha ya kutoingia darasani wala kusoma muda mrefu .Hii ni kwa sababu wengi wa wanafunzi wanaosoma muda mrefu husoma bila ya kujua lengo la kusoma vitu au mada fulani na kuishia kufeli.Hivyo kujua unasoma kitu fulani kwa ajiri gani kutakupa uhakika mkubwa wa kufaulu.
 

4. Tumia muda mwingi kusoma masomo unayoyaelewa vizuri. (uwekejazi)

Usielewe vibaya ! Kutumia muda mwingi kwenye masomo unayoyaelewa vizuri haimanishi uache kusoma masomo mengine,ila hii ina maana kwamba unatakiwa kuelewa zaidi na zaidi na kugeuza masomo yote unayoyaelewa kama uwanja wa nyumbani kiasi kwamba katika mitihani ya masomo hayo unakuwa na uhakika wa kupata zaidi ya 65% mpaka 75% . Mbinu hii ni rahisi sana na muhimu maana ufaulu hutegemea alama za masomo tofauti tofauti na sio somo moja tu.Hivyo jua zaidi kwenye masomo unayoyaelewa yatakulipa kwenye mitihani na kukupa uhakika wa kufaulu.

 

5. Soma notes fupi zenye kubeba mawazo ya msingi. (kupunguzia kichwa mzigo)

Badala ya kusoma maelezo mengi kama msomaji wa risala , Soma notes fupi zilizo andaliwa vizuri zitakusaidia kufaulu mtihani kirahisi.Njia hii itakusaidia kutokuishiwa hamu ya kusoma unapotumia notes fupi,husaidia kuelewa haraka na kwa mujibu wa wataalamu wanadai Notes fupi husaidia sana kumtunzia mwanafunzi kumbumbu nzuri.Hivyo tumia notes fupi, 

 Zingatia

( Hakikisha notes zako fupi zinaendana na kile ambacho mtaala unachohitaji ukisome vilevile Njia hii inaweza kutofanya vizuri sana kwenye baadhi ya masomo mfano hisabati;fizikia na kemia na biologia,hivyo kwa masomo haya notes fupi lazima zipewe uungwaji mkono na mazoezi ya mara).
 

6. Buni kanuni za majibu. (kuwa mbunifu)

Kubuni Kanuni ni ujanja wa aina yake asikudanganye mtu. Elewa kwanza hizi sio kanuni rasmi bali ni kanuni ambazo mtu anabuni kwa namna yake akiwa na lengo zimsaidie kutunza kumbukumbu na zimrahisishie anapojibu maswali.Yawezekana hujaelewa vizuri bado usijali ,,, Mfano mzuri wa kanuni za kubuni ni ule watoto wa shule ya msingi hufundishwa ili kukariri haraka vipimo vya urefu yaani;” Kofia Huuzwa Dukani Mwa Daudi Senti Mia” ikimanisha Kilomita, hektomita, dekamita, Mita,Desimita,Sentimita na Milimita. Hivyo ukitulia kwa kila somo lolote unaweza kubuni kanuni hizi ambazo zitakurahisishia sana kujibu maswali na kukupa uhakika wa kufaulu.

 

7. Fanya tathmini na fahamu muda uliosalia kabla kufanya mtihani. (uandaaji wa silaha)

Hii ni njia rahisi sana inayoweza kukufanya ufaulu mtihani tena ukiwa na uhakika.Tathimini ndio kipimo sahihi kitakacho kufanya ujue upungufu wako uko wapi na nini ufanye kulingana na muda ambao utakuwa umesalia kabla ya kufanya mtihani. Zingatia “tathimini” hii unatakiwa uifanye ukiwa peke yako au na mtu mwenye kukutakia mema kama vile rafiki yako unayesoma naye ,hapo mtagundua wapi panawasumbua na kujua wapi pakupata msaada kabla ya mtihani.Mitihani ya kujiandaa haitoshi kukwambia uko sawa ila inahitaji wewe ufanye tathimini sahihi ujue unachotakiwa kufanya kabla ya mtihani.

 

8. Kutana na wenzako kabla ya siku au masaa machache kabla ya mtihani .(discussion yenye mafanikio)

Hapa elewa kwanza kwenye suala la discussion kuna watu aina mbili darasani au katika kusoma;wapo watu wanopenda sana discussion lakini lazima tuelewe kuwa kuna watu wengine hawapendi kabisa kusikia kitu kama hicho sio kwamba hawapendi ushirikiano na wenzake bali hujisikia huru sana wakiwa wanasoma peke yao.Ikiwa wewe ni miongoni mwa watu wa kundu hili hapa panakuhusu .Raha ya kusoma ni kufaulu hivyo kuna hamu kubwa ya kusoma siku chache kabla ya mtihani .hivyo kama wewe hupendi discussion za kila siku discussion kabla ya kufanya mtihani zitakusaidia sana kujua mbinu za wenzio ukichanganya na zako utapata kitu.chukueni na fanyeni past papers pamoja,utapata pointi nyingi sana na haitakuwa rahisi wewe kuzisahau kama unajiamini kwenye kutunza kumbukumbu nakujibu mtihani kirahisi.
 

9. Elewa mazingira na historia ya mitihani. (kuwa mtabiri)

“ Ni rahisi sana kupata O% kwenye mtihani wa midterm lakini sio rahisi kupata O% kwenye mtihani wa taifa” .Watu hawalielewi hili ,mtihani wa wilaya,mkoa au taifa siku zote unazingatia kupima wanafunzi wa kila aina,wa shule zenye waalimu,wa shule zenye uhaba wa waalimu na hata wale watihaniwa wa kujitegemea.Hivyo maswali hutolewa kwa kuzingatia mtaala wa taifa na sio wa shule wala kituo cha elimu.Kwa kujua hili sio rahisi kufeli ina maana lazima utajua tu maswali ya muhimu ambayo ni lazima yatoke kwenye mtihani ,maana siku zote mtaala wa elimu ni uleule na hata mabadiliko yakitokea serikali hutangaza.Hivyo kwa nini usifaulu mtihani wakati unaelewa mada na maswali yake?!.
 

10.Tulia,kuwa na amani fanya mtihani.( usiwaze kuhusu matokeo,likizo au kumaliza shule)

Tulia!!! Unawaza kuhusu kumaliza mtihani sio?! Tulia ratiba ikiisha utarudi mtaani, hivyo usiruhusu kufikiria mambo mengine badala ya mtihani muda wa mtihani, japo hutokea kwa baadhi ya watu .mfano wale wanaofikwa na matatizo mbalimbali kabla au kipindi cha mtihani sio rahisi kutofikiria matatizo hayo,lakini usijali….Jitahidi kuwa Strong na muombe Mungu. Lakini kama hauna tatizo lolote muda wa mtihani sio muda wa kufikiria kuhusu likizo au nini utafanya baada ya mtihani ,muda wa mtihani ni muda wa kuandaa kile kitakacho onekana baada ya mtihani na si vinginevyo.Ingawa wapo watu wengi sana wanaotumia muda huu vibaya kwa kuwaza nyumbani,na mambo mengine yasiyo sahihi kwa muda huo. Tasisi za Elimu au shule si miaka ya kukufanye ukue bali ni mahali ambapo wazazi,walezi au hata taifa linategemea utoke na ujuzi utakotufaa watu wote hivyo tafadhali usituangushe.
 
ZINGATIA:
Njia hizi ni za uhakika kutokana na mafanikio watu wengi waliotumia njia hizi kufaulu.Kila mtu ni shahidi mazingira ya shule nyingi si rafiki sana kwenye kufaulu kutokana na mapungufu mbalimbali ambayo serikali haiwezi kuyatatua peke yake.Hivyo hakuna wa kumlaumu kwenye matokeo mabovu yanayotokea maana serikali ni mimi,wewe na yule tushirikiane,watu wafaulu nchi iwe na wasomi wenye kuelewa mambo .Lakini tusiishie kufaulu bila ya kuwa wabunifu maana hakuna tutakacho kuwa tunakifanya.soma, faulu, kuwa, mbunifu tupate maendeleo ya kweli.

imeandikwa na
JEROME ERNEST MMASSY
Mwandishi Mwandamizi na Mkurugenzi Mtendaji
Holy Hands Book Project
+255(0) 758 673441

 

Jumanne, 20 Julai 2021

FOMATI YA MTIHANI WA KUMALIZA E LIMU YA MSINGI


Fomati ya kumaliza elimu ya msingi kama ilivyorekebishwa Julai 2020. ili kuisoma  bofya  Hapa 

IRELAND-AFRICA FELLOWS SCHOLARSHIP PROGRAMME 2022/2023

/media/dfa/alldfawebsitemedia/newspress/publications/2011-africa-strategy-cover-460.jpg

1.0 Call for Application

The General public is hereby informed that the Ireland-Africa Fellows Scholarship programme for 2022/2023 academic year is now open for eligible Tanzanians to study a Master’s programme in Ireland’s world-renowned Higher Education Institutions in the fields of Gender Equity and Human Rights, Environmental Sustainability and Climate Action, and Management, Technology and Innovation.

Interested candidates are highly encouraged to apply through the website: https://www.dfa.ie/irish-embassy/tanzania/our-services/opportunities-to-study-in-ireland/  

or read more details click here

SERIKALI YATEKELEZA KWA VITENDO UBORESHAJI ELIMU YA UALIMU- CHUO CHA UALIMU KABANGA CHAJENGWA UPYA

Kwa maelezo zaidi bofya hapa