Lebo

Ijumaa, 24 Juni 2022

UPDATE KUHUSU AJIRA MPYA ZA WALIMU NA WATUMISHI WA KADA YA AFYA


 Waziri wa Tamisemi  MHE. INNOCENT BASHUNGWA amesema kuwa wiki hii wanatarajia kutangaza ajira mpya za walimu pamoja na watumishi WA KADA ya Afya. 

Waziri ameyasema hayo akiwa katika mkutano na wadau mbalimbali uliofanyika kupitia zoom wakijadiri kuhusu zoezi la uwekaji alama za mipaka tarafa ya Loliondo na maendeleo ya zoezi la uhamaji wa hiari kwa wakazi wa Ngorongoro 

Kuangalia video ya mkutano huo bofya hapo chini 







Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

share with us