Lebo

Ijumaa, 24 Juni 2022

UPDATE KUHUSU AJIRA MPYA ZA WALIMU NA WATUMISHI WA KADA YA AFYA


 Waziri wa Tamisemi  MHE. INNOCENT BASHUNGWA amesema kuwa wiki hii wanatarajia kutangaza ajira mpya za walimu pamoja na watumishi WA KADA ya Afya. 

Waziri ameyasema hayo akiwa katika mkutano na wadau mbalimbali uliofanyika kupitia zoom wakijadiri kuhusu zoezi la uwekaji alama za mipaka tarafa ya Loliondo na maendeleo ya zoezi la uhamaji wa hiari kwa wakazi wa Ngorongoro 

Kuangalia video ya mkutano huo bofya hapo chini 







Jumamosi, 18 Juni 2022

SILSILA YA MASOMO YA AKILI YA MAFANIKIO


MADA 


DHANA YA AKILI

SEHEMU YA KWANZA


Neno AKILI (Mind or Intellect) ni tofauti kimaana na neno UBONGO (Brain); ingawa watu wengi hudhani kuwa maneno haya mawili yana maana moja, la hasha wa kalla!


Kwa kuanzia; neno UBONGO linamaanisha Ogani kubwa iliyohifadhiwa kwenye fuvu la kichwa. Ogani au umbile hili limeundwa na vitu kadhaa ambavyo ni:

- Nyamanyama laini

- Mishipa ya damu (Blood vessels)

- Mishipa ya fahamu (Nerves)

- Chembechembe za damu (Blood cells)

- Tishu (Tissues) mbalimbali na

- Majimaji (Waterly Fluids).

Ubongo umegawanyika katika maeneo makuu matatu ambayo ni:

1. Ubongo wa mbele (Frontal Brain)

2. Ubongo wa kati (Mid brain)

3. Ubongo wa nyuma (Hind brain) ambao unaungana na uti wa mgongo kupitia Medulla Oblongata.



AKILI

Kwa upande wa pili; AKILI ni uwezo uliopo kwenye ubongo unaomuwezesha mwanadamu kuweza kutafakari, kuchambua, kupima, kuchanganua na kutafuta ufumbuzi wa mambo mbalimbali yanayomzunguka.


Ni vigumu kujadili suala lolote la mafanikio na maendeleo bila ya kuhusisha Akili. Labda tuseme kuwa Mafanikio yoyote huanzia kwenye akili ya mtu. ambazo Mwenyezi-Mungu anaziongoza; ndiyo maana wengine husema kuwa, " Man is the product of his own mind.(Mtu ni zao la AKILI yake mwenyewe). Vilevile; James Allen katika kitabu chake cha As the man thinketh anasema wazi kuwa;


"Wewe ni matokeo ya mawazo yanayozunguka akilini mwako kila wakati."; yaani, "You are the product of your dominant thoughts."


Hata katika imani ya dini tunafundishwa kuwa Mwenyezi-Mungu amemfanya mwanadamu kuwa mtawala na kiongozi ( Khalifa ) kwa kumpa uwezo mkubwa wa Akili tofauti na viumba wengine. Kwa hiyo; Mafanikio na maendeleo yote ya mwanadamu na jamii yake kwa ujumla huanzia AKILINI. 


Katika Akili kuna nguvu kuu aina tatu ambazo zinaleta mafanikio makubwa Sana: Kama ukizijua na kuanza kuzifanyia kazi; Je, unataka kuzijua nguvu hizo!!?............


Naam; nguvu hizo ni:


1. Reticular Activating System (Mfumo wa Akili wa kuyaendea malengo)


2. Prefrontal Cortex System (Mfumo wa Akili wa kupambana na hisia hasi)


3. Subconscious mind (Akili nusu razini).


Tutazielezea hizi kwenye somo linalofuata Mwenyezi-Mungu Akipenda.


Somo litaendelea......




mwandishi : Mrisho Said Mbwembe

0657942495

mrishombwembwe@gmail.com

@ BoreshaTanzaniafoundation

KAA TAYARI


Mfululizo wa masomo yanayohusu AKILI NA MAFANIKIO " yataanza hii leo juma mosi na mada zitaendelea kila inapofika juma mosi na juma tano kaa tayari







mwandishi : Mrisho Said Mbwembe

0657942495

mrishombwembwe@gmail.com

@ BoreshaTanzaniafoundation

Jumatatu, 13 Juni 2022

SIX LEADERSHIP PRINCIPLES TO LEARN FROM AN EAGLE



1. Eagles fly Alone and at High Altitudes.

They don't fly with sparrows, ravens, and other small birds.


MEANING; Stay away from narrow-minded people, those that bring you down. Eagle flies with Eagles. Keep good company.



2. Eagles have an Accurate Vision. 

They have the ability to focus on something as far as 5km away. No matter the obstacles, the eagle will not move his focus from the prey until he grabs it.


MEANING; Have a vision and remain focused no matter what the obstacles and you will succeed.



3. Eagles do not Eat Dead things

They Feed only on Fresh Prey.


MEANING; Do not rely on your past success, keep looking for new frontiers to conquer. Leave your past where it belongs, in the past.




4. Eagles Love the Storm.

When clouds gather, the eagle gets excited, the eagle uses the storms wind to lift itself higher. Once it finds the wind of the storm, the eagle uses the raging storm to lift itself above the clouds. This gives the eagle an opportunity to glide and rest its wings. In the meantime, all the other birds hide in the branches and leaves of the tree.


MEANING; Face your challenges head on knowing that these will make you emerge stronger and better than you were. We can use the storms of life to rise to greater heights. Achievers are not afraid to rise to greater heights. Achievers are not afraid of challenges, rather they relish them and use them profitably.


5. Eagles Prepare for Training;

They remove the feathers and soft grass in the nest so that the young ones get uncomfortable in preparation for flying and eventually flies/ when it becomes unbearable to stay in the nest./


MEANING; Leave your Comfort Zone, there is No Growth there.




6. When the Eagle Grows Old,

His feathers becomes weak and cannot take him as fast and as high as it should. This makes him weak and could make him die. So he retires to a place far away in the mountains. While there, he plucks out the weak feathers on his body and breaks its beaks and claws against the rocks until he is completely bare; a very bloody and painful process. Then he stays in this hiding place until he has grown new feathers, new beaks and claws and then he comes out flying higher than before.


MEANING; We occasionally need to shed off old habit no matter how difficult, things that burden us or add no value to our lives should be let go of.



Never give up. Be an Eagle.